sw_tn/1co/03/03.md

1.2 KiB

Bado wa mwilini

bado wanatabia ya dhambi au wanamatamanio ya kidunia

hamuishi kulingana na mwili, na je, hamtembei kama kawaida ya kibinadamu?

Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa kufuata tamaa zenu mbaya na munaishi kwa kufuata desturi za kibinadamu.

Hamuishi kwa kawaida ya kibinadamu?

Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa namna ileile wanayoishi watu wasio na Roho.

Apolo ni nani? Na Paulo ni nani?

Paulo alikuwa anafafanua kwamba yeye na Apolo hawakuwa chanzo cha injili na ndipo hawastahiri kufuatwa. "Ni mbaya kuunda makundi kufuata Apolo au Paulo!"

Paulo ni nani?

Paulo anaongelea habari zake mwenyewe kana kwamba anazungumzia habari za mtu mwingine. ni kama vile anauliza: "mimi ni nani?" au anasema "mimi siyo wa muhimu!"

Watumishi wa yule mliyemwamini

Paulo ajibu swali lake kwa kusema kwamba yeye na Apolo ni watumishi wa Mungu. "Paulo na Apolo ni watumishi wa Kristo, na mmeamini katika Kristo kwa sababu tunamtumikia yeye".

mliyemwamini, kwa kila ambaye Bwana alimpa jukumu.

" Sisi ni watu tu wa Bwanamuliyemwamini ambaye ametupatia majukumu."