forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
551 B
Markdown
16 lines
551 B
Markdown
# Hivi ni vitu
|
|
|
|
Paulo anazunguza kuhusu uhalisia wa Yesu na msalaba. mambo ambayo hakuyaeleza kwa kina 2:8 anayafafanua sasa.
|
|
|
|
# Nani ajuaye mawazo ya mtu isipokuwa ni roho ya mtu katika yeye?
|
|
|
|
Paulo alitumia swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa mtu mwenyewe. "Hakuna yeyoteajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa roho ya mtu."
|
|
|
|
# Roho ya mtu
|
|
|
|
Hii inaonyesha ndani ya mtu,asili ya kiroho yeye
|
|
|
|
# Hakuna yeyote ajuaye vitu vya ndani ya Mungu isipokuwaRoho wa Mungu
|
|
|
|
"Roho wa Mungutu ajuaye vitu vya ndani ya Mungu"
|