sw_tn/1co/02/06.md

425 B

Maelezo ya Jumla

Paulo anaanza kufafanuao hoja yake, kwamba anaposema hekima anamaana gani kwa wasomaji wake.

Sasa tunaizungumza

Neno "sasa" limetumiwa hapa kama alama ya kuonesha fundisho kuu. Paulo anaelezea kuwa hekima ya kweli ni ile hekima ya Mungu.

watu wazima

"Waumini walikomaa kiimani"

kabla ya nyakati

" Kabla Mungu hajaumba chochote"

za utukufu wetu

" ili kudhibitisha ujio wa kutukuzwa kwetu"