sw_tn/1co/01/24.md

846 B

kwa wale ambao waliitwa na Mungu

"Kwa watu walioitwa na Mungu"

Tunamhubiri Kristo

"Tuna fundisha kuhusu Kristo" au "Tunawaambia watu wote kuhusu habari za Kristo."

Kristo kama nguvu na hekima ya Mungu

Inaweza kumaanisha: 1) "Mungu alitenda kwa uweza na hekima kwa kumtuma Kristo kufa kwa ajili yetu" au 2) kupitia Kristo Mungu amethihilisha jinsi alivyo na nguvu na hekima.

nguvu...ya Mungu

Maana nyingine ni kwamba Kristo ni mwenye nguvu na kupitia Kristo, Mungu anatuokoa.

hekima ya Mungu

Maana nyingine ni kuwa Mungu aweka wazi hekima yake kupitia kwa Kristo

ujinga wa Mungu una hekima wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

"kile ambacho watu huita upumbavu wa Mungu ni hekima ya kweli kuliko busara ya wanadamu, na kile watu huita udhaifu wa Mungu ni nguvu iliyo imara zaidi ya nguvu ya wanadamu"