forked from WA-Catalog/sw_tn
586 B
586 B
Namshukuru Mungu
Paulo anafurahia kuwa hakuwabatiza watu wengi wa pale Korintho
sikumbatiza yeyote isipokuwa
"pekee"
Krispo
Alikuwa kiongozi wa sinagogi ambaye alibadilika kuwa Mkristo.
Gayo
Alisafiri pamoja na Mtume Paulo
Hii ilikuwa hivyo kwamba hakuna hata mmoja angesema kwamba mlibatizwa katika jina langu.
"Nilijizua katika kubatiza watu zaidi kwasababu niliogopa kwamba wange jivuna baadaye kwamba nimekwisha kuwabatiza wao."
Nyumba nzima ya Stephania
Hii inahusu wanafamilia na watumwa katika nyumba(kaya) mahali Stephania, mwanaume, na kiongozi wa kaya.