sw_tn/1co/01/14.md

586 B

Namshukuru Mungu

Paulo anafurahia kuwa hakuwabatiza watu wengi wa pale Korintho

sikumbatiza yeyote isipokuwa

"pekee"

Krispo

Alikuwa kiongozi wa sinagogi ambaye alibadilika kuwa Mkristo.

Gayo

Alisafiri pamoja na Mtume Paulo

Hii ilikuwa hivyo kwamba hakuna hata mmoja angesema kwamba mlibatizwa katika jina langu.

"Nilijizua katika kubatiza watu zaidi kwasababu niliogopa kwamba wange jivuna baadaye kwamba nimekwisha kuwabatiza wao."

Nyumba nzima ya Stephania

Hii inahusu wanafamilia na watumwa katika nyumba(kaya) mahali Stephania, mwanaume, na kiongozi wa kaya.