sw_tn/1ch/29/26.md

6.1 KiB

Daudi

Daudi alikuwa mfalme wa kwanza na alimpenda Mungu na kumtumikia.

  • Daudi alipo kuwa bado kijnana modogo na akichunga kondoo wa baba yake, Mungu alimchagua kuwa mfalme wa Israeli.
  • Daudi alikuwa mpiganaji mkubwa na akaongoza jeshi la Israeli katika mapambano dhidi ya maadui zao. Ushindi wake wa Goliathi Mfilisti wajulikana sana.
  • Mfalme Sauli alijaribu kumuua Daudi, lakini Mungu alimlinda, na kumfanya mfalme baada ya kifo cha Sauli
  • Daudi alitenda dhambi mbaya, lakini alitubu na Mungu akamsamehe.
  • Yesu, Mesia, anaitwa "Mwana wa Daudi" kwasababu ni mzao wa mfalme Daudi.

Yese

Yese alikuwa baba wa Mfalme Daudi, na mjukuu wa Ruthi na Boazi.

  • Yese alitokea kabila la Yuda.
  • Alikuwa "Mefrathi", yenye kumaanisha alikuwa ametoka mji wa Efratha (Bethlehemu)
  • Nabii Isaya alitabiri kuhusu "chimbuko" au "tawai" litakalo toka "shina la Yese" na kuzaa matunda. Hii yamuelezea Yesu aliye kuwa mzao wa Yese.

tawala

Neno "tawala" la maanisha kumiliki kama mfalme juu ya watu wa eneo la nchi au ufalme. Utawala wa mfalme ni kipindi chake cha kwenye madaraka.

  • Neno "kutawala" alatumika kueleza Mungu anavyo tawala kama mfalme juu ya dunia yote.
  • Mungu aliruhusu wafalme watawale juu ya Israeli walipo mkataa kama mfalme.
  • Yesu Kristo atakapo rudi, atatawala wazi kama mfalme juu ya dunia yote na Wakristo watatawala naye.
  • Hili neno laweza pia tafsiriwa kama "madaraka kabisa" au "miliki kama mfalme" au "ongaza kama mfalme"

Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli

Neno "Israeli" ni jina Mungu alilo mpa Yakobo. La maanisha, "anaangaika na Mungu"

  • Wazao wa Yakobo walijulikana kama "watu wa Israeli," "taifa la Israeli", au "Waisraeli."
  • Mungu aliunda agano lake na watu wa Israeli. Walikuwa watu wake aliyo wachagua.
  • Taifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mbili.
  • Baada ya Mfalme Sulemani kufa, Israeli iligawanyika katika falme mbili: ufalme wa kusini , uliitwa "Yuda" na ufalme wa kaskazini, uliitwa "Israeli"
  • Mara nyingi neno "Israeli" laweza tafsiriwa kama, "watu wa Israeli" au "taifa la Israeli," kulingana na muktadha.

mtawala, watawala, tawala

Neno "mtawala" ni jina linalo eleza mtu mwenye mamlaka juu ya watu wengine, kama kiongozi wa nchi, ufalme, au kundi la dini.

  • Katika Agano la kale, mfalme alikuwa anajulikana kwa kujatwa "mtawal," kama katika mstari huu, "alimteua mtawala juu ya Israeli"
  • Mungu anaelezwa kama mtawala mkuu, anaye tawala watala wengine wote.
  • Katika Agano Jipya, kiongozi wa sinagogi aliitwa "mtawala."
  • Aina nyingine ya mtawala alikuwa ni "gavana."
  • Kulingana na muktadha, "mtawala" la weza tafsiriwa kama "kiongozi" au mtu mwenye mamlaka juu ya"
  • Tendo la "kutawala" la maanisha kuongoza "kuwa na mamlaka juu ya." Lina maana moja kama "kumiliki" linapo mtaja mfalme.

Hebroni

Ulikuwa mji eneo la juu, lenye vimilima vya miamba maili ishirini kusini mwa Yerusalemu.

  • Mji ulijengwa katika ya mwaka 2,000 B.C. kipindi cha Abramu. Ulitajwa mara nyingi katika historia ya mambo ya Agano la Kale.
  • Hebroni ilikuwa na nafasi muhimu katika utawala wa mfalme Daudi. Baadhi ya wana wake, pamoja na Absalome, walizaliwa hapo.
  • Umji ulibomolewa kati ya mwaka 70 A.D. na Warumi.

Yerusalemu

Yerusalemu ulikuwa asili mji wa Wakanani zamani badae ukawa mji muhimu wa Israeli. Upo kilomita 34 magharibi mwa Bahari ya Chumvi na kaskazini mwa Bethlehemu. Bado ni mji mkuu wa Israeli.

  • Jina, "Yerusalemu" limetajwa kwanza katika kitabu cha Yoshua. Majina mengine ya Agano la Kale ni "Salemu," "mji wa Yebusi," na "Sayuni." Yote "Yerusalemu" na "Salemu" una shina moja la "amani"
  • Yerusalemu ulikuwa ngome ya Wayebusi uliyo itwa "Sayuni" ambayo mfalme Daudi aliuteka na kuufanya mji wake mkuu.
  • Mwana wa Daudi Sulemani alijenga hekalu la kwanza Yerusalemu, Mlima Moria, ambao ulikuwa mlima Ibrahimu alimtoa mtoto wake Isaka kwa Mungu. Hekalu lilijengwa tena pale lilipo haribiwa na Wababilonia.
  • Kwasababu hekalu lilikuwa Yerusalemu, sherehe kubwa za Wayahudi zilisherehekewa hapo.
  • Watu kawaida walitaja kwenda "juu" Yerusalemu maana ulikuwa juu ya milima.

kifo, kufa, kafa

Haya maneno yanatumika kutaja mauti ya kimwili na kiroho. Kimwili, inaeleza jinsi mwili wa nyama wa mtu unaacha kuishi. Kiroho, inaeleza wenye dhambi wanapo tengwa na Mungu kwasababu ya dhambi.

chema, wema

Neno "wema" lina maana tofauti kulingana na muktadha. Lugha nyingi zitatumia maneno tofauti kutafsiri hizi maana tofauti.

  • Kwa ujumla, kitu ni chema kama kinalingana na tabia ya Mungu, kusudi, na mapenzi.
  • Kitu ambacho ni "chema" cha weza pendeza, bora, saidia, kufaa, faidisha, au kubalika kimaadili.
  • Ardhi iliyo "njema" yaweza itwa "rotubisha" au "inayozalisha."
  • Zao "jema" la weza kuwa zao "tele"
  • Mtu anaweza kuwa "mwema" kwa kile anachofanya kama wana ujuzi kwa kazi yao au ajira, kama, "mkulima mwema."
  • Katika Biblia, maana ya jumla ya "jema" mara nyingi utofautishwa na "uovu"
  • Neno "wema" mara kwa mara la husu kuwa na maadili mema au wenye haki katika mawazo na matendo.
  • Wema wa Mungu wa husu jinsi anavyo bariki watu kwa kuwapa vitu vyema na vya faida. Yaweza pia kumaanisha ukamilifu wake wa adili.

umri

Neno "umri" la husu idadi ya miaka mtu ameishi. Pia ya tumika kumaanisha kipindi cha muda.

  • Maneno mengine yanayo tumika kueleza kipindi kirefu cha muda ni pamoja na, "nyakati" na "majira"
  • Yesu anataja "huu wakati" kama muda uliyopo ambao uovu, dhambi, na uasi vitajaza dunia.
  • Kutakuwa na muda mbeleni wakati haki itatawala juu ya mbingu mpya na nchi mpya.

maisha, ishi, kuishi, hai

Haya maneno yote yanaeleza kuwa hai kimwili, sio kufa. Yanatumika pia kimafumbo kumaanisha kuwa hai kiroho.

heshima, kuheshimu

Maneno "heshima" na kuheshimu yana maana ya kumpa mtu adhama, kukweza, au muabudu

  • Heshima upewa mtu aliye na cheo na muhimu, kama mfalme au Mungu.
  • Mungu pia anawaelekeza Wakristo kuheshimu wengine, lakini wasijaribu kutafuta heshima yao.
  • Watoto wanaelekezwa kuheshimu wazazi wao, inayo jumuisha adhama na utiifu.
  • maneno "heshimu" na "utukufu" yana tumika pamoja mara nyingi, sana yanapo muongelea Yesu. Haya yanaweza kuwa namna moja ya kuzungumzia kitu kimoja.
  • Heshima kwa Mungu ya jumuisha kumshukuru na kumsifu, na kumuonyesha heshima kwa kumtii na kuishi namna inayo onyesha jinsi alivyo mkuu.