sw_tn/1ch/26/20.md

20 lines
540 B
Markdown

# Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae
"Yehieli na wanae walikuwa uzao wa Ladani, aliye toka Gerishoni ulio wa Ladani. Yehieli na wana wake walikuwa viongozi wa familia ya Ladani Mgerishoni. Wana wa Yehieli"
# Ladani ... Gerishoni
Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 23:7
# Mgerishoni
Wazao wa Gerishoni.
# Yehieli ... Zethamu ... Yoeli
Ona jinsi jinsi ulivyo tafsiri haya majina katika 23:7.
# aliyesimamia
"aliye kuwa msimamizi"