sw_tn/1ch/25/04.md

254 B

Maelezo ya Jumla

Hii inaendeleza orodha ya viongozi wa kazi ya hema la kukutania imeanza 25:1

Bukia ... Mahaziothi

Haya ni majina ya wanaume.

Hemani

Ona jinsi ulivyo tafsiri 16:40

wana kumi na nne na mabinti watatu

"wana 14 na mabinti 3"