sw_tn/1ch/24/06.md

351 B

Shemaia

Hili ni jina la mwanamume.

Nethaneli

Ona jinsi ulivyo tafsiri 15:22

Ahimeleki

Ona jinsi ulivyo tafsiri 18:14

Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari

"Walimchagua mmoja kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, kisha watachagua kwa kura kutoka uzao wa Ithamari"