sw_tn/1ch/23/24.md

414 B

Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo

"Haya yalikuwa majina ya uzao wa Lawi na familia zao, ambao Daudi aliwahesabu na kuwaorodhesha. Walikuwa viongozi wa koo"

kutoka miaka ishirini na zaidi

"kutoka miaka 20 na zaidi"

na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake

"na vifaa vyake walivyo tumia kwenye utumishi wake"