sw_tn/1ch/20/06.md

336 B

Refaimu

Hilo ni jina lililo pewa jamii ya watu ambao walikuwa warefu na imara.

Yehonadabu ... Shimea

Haya ni majina ya wanaume.

waliuawa na mkono wa Daudi na mkono wa wanajeshi wake

Daudi na wana jeshi wake wana tajwa kwa sehemu ya miili yao inayo tumika kushikilia upanga. "Daudi na wana jeshi wake waliua wazao wa Refaimu"