sw_tn/1ch/13/12.md

307 B

Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?

Daudi anaeleza hasira yake kuhusu kifo cha Uza alipo kuwa ana jaribu kurudisha sanduku kwenye mji wake. "Siwezi kurudisha sanduku la Mungu kwenye mji wangu" au "Niambie Sheria za kurudisha sanduku, sijui jinsi ya kufanya hivi"

miezi mitatu

"miezi 3"