sw_tn/1ch/13/09.md

230 B

Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza

"Yahweh alikuwa na hasira sana kwa Uza"

mbele za Mungu

"katika uwepo wa Mungu"

Daudi alipatwa na hasira

Daudi alishikwa na hasira dhidi ya Yahweh

hadi leo

Ona ulivyo tafsiri 4:42