sw_tn/1ch/11/18.md

611 B

wanaume hodari watatu

wanaume hodari 3"

kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango

Haya maneno mawili yanahusu kisima kimoja. Ya pili ya husu kisima gani Bethilehemu.

Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji

Mungu, tafadhali usiniache ninywe dhabihu kama hii kwa gharama ya wanaume wangu"

Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?

Daudi anasema kwa swali kuwa maji yana dhamani kwasababu ya dhabihu iliyo tolewa na hao walioenda kufuata. "Sitakunywa damu ya wanaume walio radhi kufa kwa ajili yangu" au "Sitakunywa maji wanaume walio hatarisha maisha yao kuyapata"