forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
398 B
Markdown
17 lines
398 B
Markdown
|
# ufahamu wako
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia neno "wako" kuongea na Wakorintho wote
|
||
|
|
||
|
# aliye dhaifu... anaangamizwa
|
||
|
|
||
|
Kaka au dada asiyekuwa imara katika imani yake atatenda dhambi au kupoteza imani yake.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu nilichoeleza ni kweli"
|
||
|
|
||
|
# ikiwa chakula kinasababisha
|
||
|
|
||
|
" chakula" ni picha ya mtu anayekula hicho chakula " kwa kula kwangu kama nitasababisha" au " Ikiwa ninakula na kusababisha"
|
||
|
|