sw_tn/rom/05/10.md

20 lines
495 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# sisi...sisi
Yote yatokeayo kwa "sisi" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa.
# Mwana wake...maisha yake
"Mwana wa Mungu...maisha ya mwana wa Mungu"
# tulikuwa tumepatanishwa kwa Mungu kupitia kifo cha mwana wake
Kifo cha mwana wa Mungu kimetupa msamaha wa milele na kutufanya sisi marafiki pamoja na Mungu, kwa wote wanaoamini katika Yesu.
# Mwana
Hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu
# baada ya kuwa tumepatanishwa
"sasa basi Mungu hutuona sisi marafiki wake tena"