forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
503 B
Markdown
16 lines
503 B
Markdown
|
# Wataleta
|
||
|
|
||
|
"Wafalme wa duniani wataleta"
|
||
|
|
||
|
# hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake kamwe
|
||
|
|
||
|
maneno hasi haya mawili yanaweza kusemwa kwa hali chanya kwa kusema "kile kilicho kisafi tu ndio kitaingia."
|
||
|
|
||
|
# bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini wale tu ambao Mwanakondoo ameandika majina yao katika kitabu cha Uzima"
|
||
|
|
||
|
# Mwanakondoo
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo.
|