forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
393 B
Markdown
8 lines
393 B
Markdown
|
# ni mmoja wa wale wafalme saba
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) mnyama anatawala mara mbili: kwanza kama mmoja wa wafalme saba, na kisha kama mfalme wa nane au 2) mnyama yuko katika kundi la hao wafalme saba kwa sababu ni kama wao.
|
||
|
|
||
|
# anaenda kwenye uharibifu
|
||
|
|
||
|
Uhakika wa kile kitakachojiri mbeleni kinazungumziwa kana kwamba mnyama anaendako. "hakika itaangamizwa" au "Mungu hakika ataiangamiza"
|