forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
459 B
Markdown
20 lines
459 B
Markdown
|
# joka alitambua kuwa ametupwa chini kwenye nchi
|
||
|
|
||
|
"joka alitambua ya kwamba Mungu amemtupa nje ya mbingu na kumtuma duniani"
|
||
|
|
||
|
# alimfuata mwanamke
|
||
|
|
||
|
"alimfukuza mwanamke"
|
||
|
|
||
|
# joka
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani"
|
||
|
|
||
|
# wakati, nyakati na nusu wakati
|
||
|
|
||
|
"miaka mitatu na nusu"
|
||
|
|
||
|
# nyoka
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia nyingine yakumaanisha yule joka.
|