forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
789 B
Markdown
24 lines
789 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Sauti kuu kutoka mbinguni inaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Walimshinda
|
||
|
|
||
|
"Walimshinda mshitaki"
|
||
|
|
||
|
# kwa damu ya Mwanakondoo
|
||
|
|
||
|
Damu inamaanisha kifo chake. "kwa sababu Mwanakondoo amemwaga damu na kuwafia"
|
||
|
|
||
|
# kwa neno la ushuhuda wao
|
||
|
|
||
|
Neno "ushuhuda" inaweza kuelezwa na kitenzi "shuhudia." Pia walioshuhudiwa wanaweza kuelezwa vizuri. "kwa yale waliyosema walivyomshuhudia Yesu kwa wengine"
|
||
|
|
||
|
# hata kufa
|
||
|
|
||
|
Waumini walisema ukweli kumuhusu Yesu, licha ya kwamba walikuwa wanajua kuwa maadui zao wangeweza kujaribu kuwaua kwa sababu hiyo. "lakini waliendelea kushuhudia licha ya kwamba walijua wangeweza kufa kwa hilo"
|
||
|
|
||
|
# Amejawa na hasira sana
|
||
|
|
||
|
Ibilisi anazungumziwa kana kwamba ni chombo na hasira inazungumziwa kuwa kama kimiminiko kinachoweza kuwa ndani yake. "Ana hasira sana"
|