forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
757 B
Markdown
20 lines
757 B
Markdown
|
# Epafradito
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu aliyetumwa na kanisa la Filipi kumhudumia Paulo gerezani.
|
||
|
|
||
|
# mtenda kazi mwenzangu na askari mwenzangu
|
||
|
|
||
|
Hapa Paulo anamzungumzia Epafradito kana kwamba alikuwa askari. Anamaanisha kwamba Epafradito amejifunza na kuamua kumtumikia Mungu, haijalishi ambavyo mambo makubwa yakayomsonga. "muumini mwenzangu ambaye anafanya kazi na kusumbuka pamoja nasi"
|
||
|
|
||
|
# na mjumbe wenu kwa ajili ya mahitaji yangu
|
||
|
|
||
|
"na ambaye aletaye ujumbe wenu kwangu na anisaidiaye wakati ninapokuwa mhitaji"
|
||
|
|
||
|
# alikuwa na hofu, na alitamani kuwa pamoja nanyi nyote
|
||
|
|
||
|
"alikuwa na hofu na alitaka kuwa nanyi nyote"
|
||
|
|
||
|
# huzuni juu ya huzuni
|
||
|
|
||
|
sababu ya huzuni ingeweza kutengenezwa wazi. "huzuni ya kumpoteza kujumlisha na huzuni aliyokuwa nayo kuwa gerezani"
|