forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
380 B
Markdown
20 lines
380 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Balaamu anamaliza unabii wake wa kwanza kati ya nabii nne alizotoa.
|
||
|
|
||
|
# Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"Waisraeli wataimilki Edomu"
|
||
|
|
||
|
# Na Seiri pia itakuwa milki yao
|
||
|
|
||
|
"Israeli atawaangamiza watu wa Seiri"
|
||
|
|
||
|
# Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme
|
||
|
|
||
|
"Yakobo" ni kiwakilishi cha watu wote wa Isreli
|
||
|
|
||
|
# katika mji
|
||
|
|
||
|
"mji wa Ari ambao Balaki alikutana na Balaamu"
|