forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
455 B
Markdown
16 lines
455 B
Markdown
|
# Kisha BWANA akafungua kinywa cha Punda na akaongea
|
||
|
|
||
|
"Kisaha BWANA akampa punda uwezo wa kuongea kama vile binadamu awezavyo kuongea"
|
||
|
|
||
|
# Akamwabia Balaamu
|
||
|
|
||
|
"Yule punda akamwambia Balaamu"
|
||
|
|
||
|
# Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa?
|
||
|
|
||
|
"Mimi ni punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote, mpka hivi sasa."
|
||
|
|
||
|
# Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?
|
||
|
|
||
|
"sijawahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi"
|