forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
385 B
Markdown
16 lines
385 B
Markdown
|
# Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# siku ya maandalio
|
||
|
|
||
|
Huu ni muda uliokuwa kabla ya pasaka ambao ulitumika kuandaa chakula
|
||
|
|
||
|
# kuvunja miguu yao na kuiondoa
|
||
|
|
||
|
Unaweza kutafsiri kama, "kuvunja miguu ya waliosulibiwa na kuiondoa miili yao kutoka kwenye misalaba yao"
|
||
|
|
||
|
# aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
|
||
|
|
||
|
Unaweza kutafsiri kama, "ambaye walimsulibisha karibu na Yesu"
|