forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
436 B
Markdown
20 lines
436 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Hapa habari inarudi kumwelezea Petro.
|
||
|
|
||
|
# Je, wewe ni mmoja wa wanafunzi wake?
|
||
|
|
||
|
Swali hili linatoa msisitizo wa ukweli wa jambo
|
||
|
|
||
|
# Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?
|
||
|
|
||
|
hapa neno "naye" linamaanisha Yesu
|
||
|
|
||
|
# Kisha Petro akamkana tena
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa petro alimkana kwa kujua kuwa alikuwa na Yesu.
|
||
|
|
||
|
# na papo kwa papo jogoo akawika
|
||
|
|
||
|
Ikumbukwe kuwa Yesu alimwambia Petro kuwa jogoo atawika kabla hajamkana
|