Sala inaweza kuwa dhana ngumu kutafsiri katika tamaduni ambazo hazijui desturi hii. Kwa kuwa Yesu ni Mungu, sala zake si kama sala za watu wengine. Sura hii inaweza kuwa vigumu sana kuelewa kwa sababu Yesu hakuhitaji kuomba msaada, na sala zake pia zinaweza kuonekana kama amri. Haingekubalika kwa mtu mwingine kuomba kwa namna hii.