sw_tn/jhn/12/46.md

12 lines
223 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi:
Yesu anaendelea kuongea na makutano
# Nimekuja kama nuru
Hii inamaana ya "Nikuja kuwaonesha iliyo kweli"
# wasibaki gizani
"giza" hapa humaanisha kuishi katika ujinga wa kutokujua kweli ya Mungu.