forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
363 B
Markdown
16 lines
363 B
Markdown
|
# kisha baadhi ya Wayunani
|
||
|
|
||
|
hii inatoa utambulisho wa wahusika wapya katika simulizi
|
||
|
|
||
|
# kuabudu katika sherehe
|
||
|
|
||
|
Yohana anamaanisha kuwa Wayunani walikuwa wanaenda kumwabudu Mungu wakati wa Pasaka.
|
||
|
|
||
|
# Bethsaida
|
||
|
|
||
|
huu ulikuwa mji katika jimbo la Galilaya
|
||
|
|
||
|
# na kisha wakamwambia Yesu
|
||
|
|
||
|
Filipo na Andrea wakamwambia Yesu kuhusiana na Wayunani walioomba kukutana naye.
|