forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
251 B
Markdown
12 lines
251 B
Markdown
|
# alisikitika sana moyoni mwake na roho yake iliumia
|
||
|
|
||
|
Yohana anatumia sentensi hizi mbili kuelezea uzito wa maumivu ya moyo ambayo Yesu aliyapata.
|
||
|
|
||
|
# Mme mweka wapi
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia nyingine ya kuuliza, "mmemzika wapi?"
|
||
|
|
||
|
# Yesu akalia
|
||
|
|
||
|
Yesu alianza kulia
|