forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
486 B
Markdown
12 lines
486 B
Markdown
|
# Katika jina la Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Yesu alifanya mambo haya kwa uwezo na mamlaka ya Baba yake. Yesu ni mkamilifu , mtakatifu Mwana w Mungumwenye uwezo wa milele kutoka kwa Baba ili kulipa kwa ajili ya dhambi zote milele na kuokoa na kuwasamehe wote waliomwamini.
|
||
|
|
||
|
# Haya yanashuhudia kuhusu mimi
|
||
|
|
||
|
Miujiza yake ilithibitisha kuhusu yeye kama vile shahidi anavyoshuhudia mahakamani.
|
||
|
|
||
|
# Siyo kondoo wangu
|
||
|
|
||
|
"Siyo wafuasi wangu" au "siyo wanafunzi wangu" au "siyo watu wangu"
|