forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
508 B
Markdown
16 lines
508 B
Markdown
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
Tafsiri kama ulivyofanya katika Yoh. 1:49
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni mlango wa kondoo
|
||
|
|
||
|
"Mimi ni njia wanayoipitia kondoo kwenda zizini." Yesu anasema yeye ndiye anayeruhusu kuingia. Neno "kondoo" limetumika kumaanisha watu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Wote waliokuja kabla yangu
|
||
|
|
||
|
Hili linarejea kwa walimu wengine waliofundisha kabla ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# wezi na wanyang'anyi
|
||
|
|
||
|
Yesu anawaita "wezi na wanyang'anyi" kwa sababu mafiundisho yao yalikuwa ya uongo, na walikuwa wakkijaribu kuwaongoza watu wa Mungu wakati hawaujui ukweli.
|