forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
559 B
Markdown
20 lines
559 B
Markdown
|
# Mimi ni mkate wa uzima
|
||
|
|
||
|
Yesu anajifananisha na mkate. Kama vile mkate ulivyo muhimu kwa maisha yetu ya mwili, Yesu ni wa muhimu kwa maisha yetu ya kiroho.
|
||
|
|
||
|
# aaminiye katika
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha kuaminia kuwa Yesu ni Mwan wa Mungu, kumtegemea kama mwokozi, na kuishi katika namna ambayo ina mpendeza.
|
||
|
|
||
|
# Wale wote anipaye Baba watakuja kwangu
|
||
|
|
||
|
Mungu Baba na Mungu Mwana ni washirika katwa milele kwa wale wanao mwamini Yesu, Mwana wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Cheo muhimu kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Yeye ajaye kwangu sitamtupa kamwe nje
|
||
|
|
||
|
"Nitamtunza kila mmoja ambaye ajaye kwangu.
|