forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
348 B
Markdown
12 lines
348 B
Markdown
|
# bahari
|
||
|
|
||
|
Bahari ya Galilaya
|
||
|
|
||
|
# (Ingawa, palikuwa... Bwana aliposhukuru)
|
||
|
|
||
|
tumia lugha yako kuonesha kuwa hii ni habari ya nyuma.
|
||
|
|
||
|
# mitumbwi iliyokuja kutoka Tiberia
|
||
|
|
||
|
siku iliyofuata baada ya Yesu kuwalisha watu, baadhi ya mitumbwi kutoka Tiberia ilikuja na watu ili wamwone Yesu.Ingawa, Yesu na wanafunzi wake walikuwa wametoka usiku mmoja kabla.
|