forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
490 B
Markdown
24 lines
490 B
Markdown
|
# Kama utarudi, Israeli
|
||
|
|
||
|
"Kama utanirudida, au kama mtabadilisha tabia zenu, enyi watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# ikiwa kwangu kwamba umerudi.
|
||
|
|
||
|
"kisha ukaanza kuniabudu"
|
||
|
|
||
|
# Asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|
||
|
|
||
|
# Kama utaondoa hayo mabao yachukizayo mbele yangu
|
||
|
|
||
|
"Ondoa hizo sanamu zichukizazo mbele yangu"
|
||
|
|
||
|
# na ukaacha kunikimbia mimi tena
|
||
|
|
||
|
"ukabaki mwaminifu kwangu"
|
||
|
|
||
|
# Limeni shamba zenu na msipande kwenye miiba
|
||
|
|
||
|
BWANA anawaambia watu wake kuandaa maisha yao kama mkulima aandavyo shamba kwa ajili ya kupanda
|