forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
623 B
Markdown
20 lines
623 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea namna ambavyo wafalme wa falme za kaskazini walifanya kwa bidii kujichanganya na mataifa mengine kwa ajili ya ulinzi dhidi ya uvamizi.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa
|
||
|
|
||
|
Efraimu ni ufalme wa Kaskazini wa Israeli. Taifa dhaifu kama mkate ambao haujageuzwa na mwokaji ili uwe na nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Nywele za mvi hunyunyiza juu yake
|
||
|
|
||
|
"nywele za mvi" zinawakilisha umri mkubwa.
|
||
|
|
||
|
# lakini hajui
|
||
|
|
||
|
Huu "umri mkubwa" inaonesha wazi kuwa ufalme wa kaskazini ulikuwa dhaifu siku hata siku lakini mataifa hayajui kuwa inazeeka.
|