forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
477 B
Markdown
16 lines
477 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# imewekwa akiba kwa ajili ya mahali patakatifu
|
||
|
|
||
|
"ambayo uliyoitoa kwa ajili ya mahali patakatifu."
|
||
|
|
||
|
# Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kwamba Ezekieli analinganisha nchi ya mwana mfalme na ukubwa wa nchi iliyotolewa kwa kila makabila.
|
||
|
|
||
|
# kutoka magharibi hata mashariki
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kwamba hii ilikuwa mipaka ya magharibi na mashariki mwa nchi ya Israeli.
|