forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
436 B
Markdown
16 lines
436 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nimeuinua mkono wangu kuapa juu yao
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa ni mazoea ya kawaida kuapa kiapo kwa kuinua mkono kuelekea mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# nitawatawanya kati ya maifa na kuwatawanya miongoni mwa nchi mabali mbali
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri hii katika 12:14.
|
||
|
|
||
|
# Macho yao yalizitamani sanamu za baba zao
|
||
|
|
||
|
"walikuwa na shauku ya kuabudu sanamu ambazo wazazi wao walizoziabudu."
|