forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
830 B
Markdown
32 lines
830 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumala:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# mwisho uko juu yako
|
||
|
|
||
|
"uhai wako umeisha" au "mwisho wa mda wako umefika"
|
||
|
|
||
|
# kutokana na njia zako
|
||
|
|
||
|
"kulingana na mambo unayoyafanya" au "kwa sababu ya mambo maovu ufanyayo"
|
||
|
|
||
|
# nitaleta machukizo yako yote juu yako
|
||
|
|
||
|
"nitaufanya uzoefu wako matokeo ya tabia yako ya machikizo" au "nitakuadhibu kwa kufanya haya mambo ninayoyachukia sana"
|
||
|
|
||
|
# machukizo
|
||
|
|
||
|
Hii inarejelea kwa tabia ambayo Mungu aichukiayo.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa sitakutazama kwa huruma"
|
||
|
|
||
|
# nitaleta njia zako juu yako
|
||
|
|
||
|
"nitakufanya mzoefu wa matokeo ya tabia yako mbaya" au "nitakuadhibu kwa mambo mabaya uyafanyayo."
|
||
|
|
||
|
# machukizo yako yatakuwa katikati yako
|
||
|
|
||
|
"matokeo ya tabia yako ya chuki yatakuzunguka" au 2) "sanamu zako zitakuwa pamoja nawe na hazitakuwa na uwezo."
|