forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
412 B
Markdown
24 lines
412 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Wakati Paulo akiwa kifungoni kwenye ngome, Wayahudi wasioamini waliapa kumwua.
|
||
|
|
||
|
# Azimio
|
||
|
|
||
|
"kufanya nadhiri" au "kuapa mbele za Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Azimio
|
||
|
|
||
|
Ni makubaliano ya kawaida ya kufanya jambo fulani.
|
||
|
|
||
|
# kuita laana juu yao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Neno "laana" Walimwomba Mungu awalaani hama wasingetimiza nadhili yao
|
||
|
|
||
|
# wanaume arobaini
|
||
|
|
||
|
wanaume 40
|
||
|
|
||
|
# ambao walifanya njama hii
|
||
|
|
||
|
"ambao alipanga kumuua Paulo"
|