forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
913 B
Markdown
36 lines
913 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa simulizi kuhusu Filipo na mwanaume kutoka Ethiopia.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 27 unaonyesha taarifa za mwanaume kutoka Ethiopia.
|
||
|
|
||
|
# njia iendayo chini ya Yerusalemu kuelekea Gaza
|
||
|
|
||
|
"Iendayo chini" hapa linatumika kwasababu Yerusalemu iko juu zaidi ya Gaza
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" ni neno la kiunganishi cha simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Njia hii iko katika jangwa
|
||
|
|
||
|
Wasomi wengi wanaamini Luka aliongeza mkazo wa kuelezea eneo ambalo Filipo angeweza kupitia.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatutahadharisha kwa mtu mpya katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa njia ya kufanya hivi. Kingereza linatumia "Palikuwa na mtu ambaye alikuwa."
|
||
|
|
||
|
# Towashi
|
||
|
|
||
|
Mkazo"towashi" hii ni kwamba, Mwethiopia aliyekuwa katika ofisi za serikali kuu.
|
||
|
|
||
|
# Kandake
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo kwa malkia wa Ethiopia . Ni sawa na jinsi "farao" alitumika kuwa mfalme wa Misri.
|
||
|
|
||
|
# Kumsoma nabii Isaya
|
||
|
|
||
|
Hili ni agano la kale la Isaya.
|