forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
536 B
Markdown
20 lines
536 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya habari kuhusu Anania na Safira.
|
||
|
|
||
|
# Inakuwaje kwamba mmepatana kwa pamoja kumjaribu Roho wa Bwana?
|
||
|
|
||
|
Petro aliuliza hili kuonyesha hawa wawili kwamba walikubaliana kutenda dhambi kwa pamoja. "Mmekubaliana kwa pamoja kumjaribu Roho!"
|
||
|
|
||
|
# miguu ya wale waliomzika mme wako
|
||
|
|
||
|
Hapa "Miguu" inamaanisha wanaume waliomzika Anania.
|
||
|
|
||
|
# akadondoka miguuni pa Petro
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha Safira alipokufa alidondoka mbele yamiguu ya Petro
|
||
|
|
||
|
# Akapumua pumzi ya mwisho
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna ya kusema kwamba "alikufa."
|