forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
880 B
Markdown
28 lines
880 B
Markdown
|
# Malezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yeye" "lake" humaanisha Mungu.(Tazama 1:5)
|
||
|
|
||
|
# hatuna dhambi
|
||
|
|
||
|
"hatutendi dhambi"
|
||
|
|
||
|
# twajidanganya
|
||
|
|
||
|
"Twajilaghai wenyewe" au "tunajiambia uongo wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# kweli haimo ndani yetu
|
||
|
|
||
|
Ile kweli imezungumziwa kana kwamba lilikuwa ni jambo au kitu kambacho kingeweza kuwa ndani ya waamini.
|
||
|
|
||
|
# kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha jambo lile lile. Yohana anavitumia kusisitiza kwa hakika Mungu atasamehe dhambi dhambi. : "na atazisamehe kabisa kabisa ubaya ambao tumeufanya"
|
||
|
|
||
|
# twamfanya yeye kuwa muongo,
|
||
|
|
||
|
tunadai kwamba yeye ni mwongo: "ni sawasawa na kumwita yeye mwongo, kwa sababu amesema sisi sote tumetenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# neno lake halimo ndani yetu
|
||
|
|
||
|
Kutii kuheshimu neno la Mungu kumezunguziwa kana kwamba neno lake lilikuwa ndani ya waamini. : "hatulielewi neno la Mungu wala hatutii linachokisema"
|