2019-05-21 20:17:16 +00:00
|
|
|
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
|
|
|
|
Daudi anajitoa kumlinda Abigaili kwa kumuoa.
|
|
|
|
|
|
|
|
# Bwana abarikiwe
|
|
|
|
|
2021-09-10 23:29:28 +00:00
|
|
|
(1) "namtukuza Bwana" au 2) "watu wote wamtukuze Bwana"
|
2019-05-21 20:17:16 +00:00
|
|
|
|
|
|
|
# aliyenichukulia hatua ya shutuma yangu kutoka mkono wa Nabali
|
|
|
|
|
|
|
|
"aliyenitetea baada ya Nabali kunidhihaki"
|
|
|
|
|
|
|
|
# aliyenichukulia hatua ya shutuma yangu
|
|
|
|
|
|
|
|
Hii yaweza kuwa na maana ya "amenionesha kuwa nililokuwa nalifanya lilikuwa sahihi kwa Kumuadhibu Nabali aliyenidhihaki"
|
|
|
|
|
|
|
|
# na kumzuia mtumishi wake asifanye maovu
|
|
|
|
|
|
|
|
Daudi anazungumza hivi kuonesha heshima kwa Bwana "alinizuia nisifanye uovu"
|
|
|
|
|
|
|
|
# Na amemrudishia Nabali tendo la uovu juu ya kichwa chake mwenyewe
|
|
|
|
|
|
|
|
"amemfanyia Nabdali jambo ambali Nabali alipanga kunifanyia"
|
|
|
|
|
|
|
|
# juu ya kichwa chake mwenyewe
|
|
|
|
|
|
|
|
"juu yake"
|
|
|
|
|
|
|
|
# akawatuma wakaongee na Abigaili, ili amchukue awe mke wake
|
|
|
|
|
|
|
|
"akawatuma watu waongee na Abigaili na kumwambia kuwa Daudi anataka kumchukua awe mke wake.
|