forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
694 B
Markdown
32 lines
694 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Hii inaazisha habari y aYesu kumponya binti wa mwanamke Mkananayo
|
||
|
|
||
|
# Yesu akatoka
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa wanafunzi waliondoka na Yesu
|
||
|
|
||
|
# Tazama, akaja mwanmke Mkanani
|
||
|
|
||
|
Kulikuwa na mwanamke Mkanaani aliyekuja kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
# Akaja mwanamke Mkanaani kutoka pande hizo
|
||
|
|
||
|
"mwanamke kutoka kundi la watu aliyeitw Mkaanani anayeishi katika eneo hilo.
|
||
|
|
||
|
# Nihurumie
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki kinamaanisha kuwa alikuwa akimuomba Yesu amponye binti yake.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Daudi
|
||
|
|
||
|
Yesu hakuwa Mwana wa Daudi kimwili, hii inaweza kutafsiriwa kama "wa kizazi cha Daudi"
|
||
|
|
||
|
# binti yangu anateswa sana na pepo
|
||
|
|
||
|
Pepo linamtesa sana binti yangu
|
||
|
|
||
|
# lakini Yesu hakumjibu neno
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linamaanisha kile mtu asemacho
|