forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
664 B
Markdown
32 lines
664 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kufafanua kwa wanafunzi wake ule mfano wa mpanzi unaoanzi 13:3
|
||
|
|
||
|
# neno la ufalme
|
||
|
|
||
|
neno linamaanisha ujumbe "ufalme" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme
|
||
|
|
||
|
# mwovu huja nakukinyakua kilichokwisha kupandwa mioyoni mwenu
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea juu ya shaetani anayewafanya kusahau kile walichosikia kama ndege anavyozidonoa mbegu zilizoanguka chini.
|
||
|
|
||
|
# mwovu
|
||
|
|
||
|
shetani
|
||
|
|
||
|
# kukinyakua
|
||
|
|
||
|
kukichukua kitu kwa mtu aliyesahihi
|
||
|
|
||
|
# kilichokwishapandwa ndani ya moyo wake
|
||
|
|
||
|
ujume ule Mungu aliopanda nadani ya moyo wake.
|
||
|
|
||
|
# ndani ya moyo ake
|
||
|
|
||
|
moyo unamanisha akili ya msikilizaji
|
||
|
|
||
|
# hii ni mbegu iliyopandwa kando ya njia
|
||
|
|
||
|
tafsiri kama ilivyo 13:3
|