forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
898 B
Markdown
32 lines
898 B
Markdown
|
# Sentensi kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anamtia moyo Tito kuutarajia ujio wa Yesu na kukumbuka mamlaka yake kupitia kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# neema ya Mungu imeonekana.....Inatufundisha
|
||
|
|
||
|
Paulo anaiongelea neema ya Mungu kama ni Mtu anayeenda kwa watu wengine na kuwafundisha jinsi ya kuishi maisha matakatifu.
|
||
|
|
||
|
# inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia
|
||
|
|
||
|
Inatufundisha tusimwasi Mungu
|
||
|
|
||
|
# tamaa za kidunia
|
||
|
|
||
|
"Hizi ni tamaa kali kwa ajili ya vitu vya dunia hii" au "tamaa kwa ajili anasa"
|
||
|
|
||
|
# katika wakati huu
|
||
|
|
||
|
"wakati bado tunaishi katika dunia hii" au " "muda huu"
|
||
|
|
||
|
# tunatarajia kupokea
|
||
|
|
||
|
"Tunasubiri kupokea"
|
||
|
|
||
|
# tumaini letu lenye baraka,
|
||
|
|
||
|
Paulo anamaanisha kwamba Mungu atakuja kwetu ambaye ndani yake tumeweka tumaini letu .
|
||
|
|
||
|
# mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongelea juu ya utukufu wa Mungu kumaanisha kwamba Mungu mwenyewe atajidhihirisha.
|