forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
1.9 KiB
Markdown
52 lines
1.9 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
ili kuwaonya waumuni wake wapendwa kuhu Wayahudi ambao wangependa kupata kufwata sheria za zamani, Paulo anatoa ushuhuda wake kuhusu ambavyo alivyo watesa waamini.
|
||
|
|
||
|
# Hatimaye, ndugu zangu
|
||
|
|
||
|
"Sasa kutembea pamoja, ndugu zangu"
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumuni wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# furahini katika Bwana
|
||
|
|
||
|
"kuweni na furaha kwa sababu ya yote Yesu aliyafanya"
|
||
|
|
||
|
# usumbufu
|
||
|
|
||
|
kuudhi
|
||
|
|
||
|
# haya mabo yatawapa usalama
|
||
|
|
||
|
Hapa "haya mambo" inarejea kwa mafundisho ya Paulo.
|
||
|
|
||
|
# kujihadhari
|
||
|
|
||
|
"kuwa makini na" au "kujihadhari kwa"
|
||
|
|
||
|
# mbwa...watenda kazi wabaya...pruni
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno matatu tofauti ya kueleza kundi moja la walimu wa uongo. Paulo anatumia maelezo imara kuonyesha hisia zake kuhusu hawa Wayahudi walimu.
|
||
|
|
||
|
# Mbwa
|
||
|
|
||
|
Neno "mbwa" lilitumiwa na Wayahudi likimaanisha wale waliokuwa siyo Waisrael.Walitazamwa kama wachafu. Paulo anawalinganisha walimu wa uongo kama tusi. Kama kuna mnyama wingine katika utamaduni wenu anayefikiriwa kuwa mchafu, au anatumiwa kama mchafu, unaweza kutumia mnyama huyu badala yake.
|
||
|
|
||
|
# wajikataaokatika miili yao
|
||
|
|
||
|
Paulo anabagua kuhusu kitendo cha tohara kuwatukana walimu wa uongo. Walimu wa uongo wanafundisha Mungu atamwokoa mtu aliyetahiriwa tu, ambaye amekatwa sehemu ya mbele ya ngozi.Hili tendo lilitakiwa lifanyike kwa sheria ya Musa kwa wanaume wote wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa sisi
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia "sisi" kurejea yeye mwenyewe na waamini wa kweli katika Kristo, pamoja na waamini wa Wafilipi
|
||
|
|
||
|
# tohara
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia kirai/kifungu cha maneno kurejea waamini katika Kristo ambao bado hawajatahiriwa katika mwili lakini wametahiriwa katika kiroho, maana yake ni kwamba wamempokea Roho Mtakatifu kupitia imani. "watu wa Mungu wa kweli"
|
||
|
|
||
|
# hakuna ujasiri katika mwili
|
||
|
|
||
|
"msiamini kwamba kukata sehemu ya mwili pekee kunaweza kumpendeza Mungu"
|