forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
599 B
Markdown
24 lines
599 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Viwakilishi vya majina, vinawakilisha Wayahudi na Viongozi wa dini zao katika Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake
|
||
|
|
||
|
"Hawakupata sababu zenye maana kwanini Yesu alipaswa auawe"
|
||
|
|
||
|
# Walimwomba Pilato amwue
|
||
|
|
||
|
Neno "Kumwomba" ni neno lenye nguvu likimaanisha "Kutaka, kulazimisha, kudai"
|
||
|
|
||
|
# Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye
|
||
|
|
||
|
"Wakati walipomtendea Yesu, kila kitu walichokuwa wamekisema manabii kilitimia.
|
||
|
|
||
|
# walimshusha kutoka mtini
|
||
|
|
||
|
"Walimwua Yesu na kuuondoa mwili wake kutoka kwenye msalaba baada ya kufa."
|
||
|
|
||
|
# kutoka mtini
|
||
|
|
||
|
"Kutoka msalabani"
|