forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
460 B
Markdown
8 lines
460 B
Markdown
|
# Wala...kwa mwanaume
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanarejea katika 11:7 kumaanisha kuwa " mwanamke ni utukufu wa mwanaume"Maana zinazo wezekana ni 1) "kuonyesha mfano kuwa anaye mwanamume kama kichwa chake" au 2) "kuonyesha mfano kuwa anamamlaka ya kuomba na kutoa unabii."
|
||
|
|
||
|
# kuwa na ishara ya mamlaka juu ya kichwa chake,
|
||
|
|
||
|
Hapa inaweza kumaanisha 1) "kuonyesha mfano kuwa anaye mwanamume kama kichwa chake" au 2) "kuonyesha mfano kuwa anamamlaka ya kuomba na kutoa unabii"
|