forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
732 B
Markdown
28 lines
732 B
Markdown
|
# Sentensi Unganisha
|
||
|
|
||
|
Baada ya Paulo kuwakumbusha Wakorintho kumfuata yeye kama navyomfuata Kristo, Paulo anatoa maagizo mahususi jinsi wanawake na wanaume wanavyopaswa kuishi kama waumini
|
||
|
|
||
|
# mnavyonikumbuka
|
||
|
|
||
|
"fikiri juu ya" au " kumbuka"
|
||
|
|
||
|
# nataka
|
||
|
|
||
|
inaweza kumaanisha 1) "Kwa sababu ya hili, ninataka" au 2) "Hata hivyo, ninataka."
|
||
|
|
||
|
# ni kichwa cha
|
||
|
|
||
|
anamamlaka juu ya
|
||
|
|
||
|
# naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke
|
||
|
|
||
|
inaweza kumaanisha 1) " wanaume wanamamlaka kwa wanawake" au 2) mume anapaswa kuwa na mamlaka kwa mke"
|
||
|
|
||
|
# akiwa amefunika kichwa
|
||
|
|
||
|
" anapofunika au kuweke kitambaa kwenye kichwa chake"
|
||
|
|
||
|
# anakiabisha kichwa chake
|
||
|
|
||
|
inaweza kumaanisha 1) " hujitia aibu mwenyewe" au 2) huleta aibu kwa Krito, ambaye ni kichwa cha mwanaume."
|